iqna

IQNA

vyombo vya habari vya kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Mwanazuoni wa Tunisia aliyehudhuria Kongamano la 37 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu alitoa wito wa kuanzishwa chombo cha habari cha pamoja cha ulimwengu wa Kiislamu ili kukabiliana na vita laini vya Magharibi.
Habari ID: 3477689    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/05

TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Redio na Televisheni za Kiislamu amehutubu amsema hatua ya Marekani kufunga tovuti kadhaa za televisheni wanachama wa jumuiya hiyo ni ukiukaji wa wazi wa uhuru wa maoni.
Habari ID: 3474053    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/06/29

Mkutano wa Kimataifa wa Vyombo vya Habari vya Kiislamu (ICIM) umefunguliwa Jumatano nchini Indonesia.
Habari ID: 3470339    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/05/26